Wabunge
wa CCM,Kangi Lugola (kulia) wa Jimbo la Mwibara,naMhe. Jenista Joakim MHAGAMA (Mb) Naibu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi (katikati) wa Jimbo la Peramiho,wakifurahia jambo na Mkurugenzi wa
Kampuni ya Msama Promotion, Alex Msama (kushoto) walipokutana kwenye
viwanja vya Bunge mjini Dodoma bunge linaendelea na mkutano wa 13 mjini
humo ambapo hoja mbali mbali zinajadiliwa.
Waziri wa Fedha na uchumi, Saada Mkuya Salum, (kushoto) akijadiliana
jambo na Mhe. Jenista Joakim MHAGAMA (Mb) Naibu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi walipokutana ndani ya ukumbi wa bunge, wakati wa
mjadala wa vipaumbele vya maendeleo ya Taifa, uliowasilishwa bungeni na
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais mahusiano na uratibu Stephen Wasira.
Waziri Chalres Kitwanga, (kushoto)
akijadiliana jambo na Wabunge wa CCM, Mhe. Jenista Joakim MHAGAMA (Mb) Naibu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi (kulia)Jimbo la
Peramiho na William Ngeleja (nyuma kulia) wa Jimbo la Sengerema,
walipokutana ndani ya ukumbi wa bunge mjini Dodoma.

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni