Jumamosi, 12 Julai 2014

NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI MH. JENISTA MHAGAMA AFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE PERAMIHO

Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akikagua Mradi wa Vijana wa kufyatua Matofali katika Kijiji cha Matimila.

Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akipokewa na wananchi wakati anawasili kijiji cha Matumila.

Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akivishwa Taji na Kiongozi wa Vijana katika kijiji cha Matumila.

Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akivishwa Taji na Kiongozi wa Vijana katika kijiji cha Matumila.

Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akivishwa Taji na Kiongozi wa Vijana katika kijiji cha Matumila.

Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akishiriki katika zoezi la kufyatua matofali kama ishara ya kuwa unga mkono Vijana wajasiriamali katika kijiji cha Matumila

Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akiwajulia hali Wananchi wa kijiji cha Matumila

Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akishiriki katika zoezi la kufyatua Matofali kama ishara ya kuwa unga mkono Vijana wajasiriamali katika kijiji cha Matumila
Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akimjulia hali Mmoja wa Wazee waishio katika kijiji cha Matumila

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni