Jumatatu, 21 Julai 2014

NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI MH. JENISTA MHAGAMA AKICHEZA NGOMA


Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akicheza ngoma ya chomanga, akiwa na wasanii wa kikundi hicho cha Songea Mjini.

RAIS JAKAYA KIKWETE AFUNGUA BARABARA YA PERAMIHO-MBINGA 78KM



 Barabara ya Peramiho -Mbinga yenye urefu wa Kilometa 78 iliyofunguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa  Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na viongozi wengine wa Serikali wakivuta utepe kuashiria ufunguzi wa barabara ya Peramiho-Mbinga yenye urefu wa Kilometa 78.

 Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa barabara ya Peramiho-Mbinga 78Km huku akiwa  na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na viongozi wengine wa Serikali.

 Mamia ya wakazi wa Mbinga wakifurahia wakati Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa anamshukuru Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa Utendaji wake mzuri wa kuwajali wakazi hao kwa kuwajengea miundombinu bora.
 Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wa kwanza kulia akizungumza na Waziri wa Ujenzi Dkt.John Magufuli kabla ya uzinduzi wa barabara ya Peramiho-Mbinga 78km .Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu.

 Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katikati akimshukuru balozi wa China nchini aliye kushoto kwake kwa kazi nzuri iliyofanywa na Mkandarasi kutoka China Kampuni ya Synohdro. Kushoto ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akishuhudia pamoja na Mawaziri wengine waliohudhuria ufunguzi wa barabara hiyo.



Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete katikati akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na baadhi ya Makatibu Wakuu na Mawaziri waliohudhuria katika ufunguzi wa barabara ya Perahimo-Mbinga (Km 78)

Jumamosi, 12 Julai 2014

NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI MH. JENISTA MHAGAMA AFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE PERAMIHO

Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akikagua Mradi wa Vijana wa kufyatua Matofali katika Kijiji cha Matimila.

Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akipokewa na wananchi wakati anawasili kijiji cha Matumila.

Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akivishwa Taji na Kiongozi wa Vijana katika kijiji cha Matumila.

Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akivishwa Taji na Kiongozi wa Vijana katika kijiji cha Matumila.

Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akivishwa Taji na Kiongozi wa Vijana katika kijiji cha Matumila.

Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akishiriki katika zoezi la kufyatua matofali kama ishara ya kuwa unga mkono Vijana wajasiriamali katika kijiji cha Matumila

Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akiwajulia hali Wananchi wa kijiji cha Matumila

Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akishiriki katika zoezi la kufyatua Matofali kama ishara ya kuwa unga mkono Vijana wajasiriamali katika kijiji cha Matumila
Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akimjulia hali Mmoja wa Wazee waishio katika kijiji cha Matumila

Ijumaa, 11 Julai 2014

Waziri wa Elimu Dk. Kawambwa afafanua kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne 2013

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akifafanua jambo, wakati alipokuwa akizungumza na waandishi habari, mjini Dodoma leo, kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne pamoja na kutoa ufafanuzi kuhusu ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013. Kushoto ni Naibu wake, Jenista Mhagama. (Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama,  akifafanua jambo kwa waandishi wa habari, wakati yeye na Waziri wake, Dk. Shukuru Kawambwa (kushoto kwake), walipokuwa wakizungumza na waandishi habari, mjini Dodoma leo, kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne pamoja na kutoa ufafanuzi kuhusu ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013. 
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama akielezea jambo kwa waandishi wa habari, wakati yeye na Waziri wake, Dk. Shukuru Kawambwa (kulia), walipozungumza na waandishi wa habari, mjini Dodoma leo, kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne pamoja na kutoa ufafanuzi kuhusu ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013. 
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, akizungumza jambo kwa waandishi wa habari, wakati yeye na Waziri wake, Dk. Shukuru Kawambwa (kulia), wakizungumza, mjini Dodoma leo, kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne pamoja na kutoa ufafanuzi kuhusu ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013. 
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, akifafanua jambo wakati wa mkutano huo na waandishi wa habari, mjini Dodoma leo. Kulia ni Waziri wake, Dk.Shukuru Kawambwa 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akifafanua jambo, wakati wa mkutano huo na waandishi habari, mjini Dodoma leo, alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne, ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013. 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akielezea jambo, wakati alipokuwa akizungumza na waandishi habari, mjini Dodoma leo, kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne kwa mwaka 2013. Kulia kwake ni Naibu wake, Jenista Mhagama.  
Waandishi wa habari, wakimsikiliza Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, wakati alipozungumza nao kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne, ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013. 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akijibu maswali ya waandishi habari, mjini Dodoma leo, wakati alipozungumza nao kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne pamoja na kutoa ufafanuzi kuhusu ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013. Kushoto ni Naibu wake, Jenista Mhagama.   
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akizungumza na waandishi habari, mjini Dodoma leo, katika mkutano huo.  
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akizungumza na waandishi habari, mjini Dodoma leo, katika mkutano huo, kuhusu matokeo ya kidato cha nne ya mtihani wa Taifa kwa mwaka 2013. Kushoto ni Naibu wake, Jenista Mhagama.  
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (katikati), akizungumza na waandishi habari, mjini Dodoma leo.  
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (katikati), akizungumza na waandishi habari, mjini Dodoma leo.  
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akielezea jambo katika mkutano huo, mjini Dodoma leo, alipokuwa akizungumza kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne pamoja na kutoa ufafanuzi kuhusu ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013. Kushoto ni Naibu wake, Jenista Mhagama.  

Alhamisi, 10 Julai 2014

PICHA ZA NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI MH. JENISTA MHAGAMA AKIWA BUNGENI DODOMA


Wabunge wa CCM,Kangi Lugola (kulia) wa Jimbo la Mwibara,naMhe. Jenista Joakim MHAGAMA (Mb) Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi (katikati) wa Jimbo la Peramiho,wakifurahia jambo na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion, Alex Msama (kushoto) walipokutana kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma bunge linaendelea na mkutano wa 13 mjini humo ambapo hoja mbali mbali zinajadiliwa.  DSC_7127 - Copy 
Waziri wa Fedha na uchumi, Saada Mkuya Salum, (kushoto) akijadiliana jambo na Mhe. Jenista Joakim MHAGAMA (Mb) Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi walipokutana ndani ya ukumbi wa bunge, wakati wa mjadala wa vipaumbele vya maendeleo ya Taifa, uliowasilishwa bungeni na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais mahusiano na uratibu Stephen Wasira. DSC_7161 
Waziri Chalres Kitwanga, (kushoto) akijadiliana jambo na Wabunge wa CCM, Mhe. Jenista Joakim MHAGAMA (Mb) Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi (kulia)Jimbo la  Peramiho na William Ngeleja (nyuma kulia) wa Jimbo la Sengerema, walipokutana ndani ya ukumbi wa bunge mjini Dodoma.

Jumatano, 9 Julai 2014

KUTANA NA NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI MPYA - JENISTA MHAGAMA


Nilimfahamu muda mrefu tangu akiwa kama mwalimu pale Peramiho Girls. Kukurukakara zake za kupigania haki za walimu kuanzia alipokuwa mwalimu, kisha UWT hadi kuwa mbunge wa Peramiho, zimeonekana kwa kiasi kikubwa, hata sasa kuteuliwa kuchukua nafasi ya Phillip Mulugo kama Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Tanzania.
Kuteuliwa kwake katika nafasi hii kumenipa faraja kwa kuwa utekelezwaji wa mpango wa "Matokeo Makubwa Sasa' katika sekta ya elimu unaweza ukaangaliwa kwa jicho la uzoefu zaidi katika kuhakikisha kwamba walimu wanapewa haki zao kama inavyotakiwa kwa kuwa Mheshimiwa Jenista Mhagama naye amepitia njia hiyo hiyo.
Pia, sote tunafahamu misimamo yake mikali awapo bungeni hasa katika utekelezaji wa mikakati yenye manufaa kwa wananchi. Nina imani kubwa kuwa Wizara ya Elimu haitakuwa kama ilivyokuwa kwa miaka yote ya nyuma. Jambo moja tu ambalo nadhani mheshimiwa Rais JK angeliangalia kwa jicho la ziada, ni kwamba Wizara nzima ingevunjwa na mfumo wake ujengwe upya, kuanzia Waziri Dkt shukuru Kawambwa mpaka makatibu wa Wizara na watendaji wake ambao wamekaa Wizarani kwa muda mrefu bila kuwa na matunda mazuri. 
Nina imani uchapakazi wa mheshimiwa Jenista Mhagama utafunika udhaifu wa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi mheshimiwa Dkt Shukuru Kawambwa.
Weka maoni yako hapa!

The Ministry of Education and Vocational Training has set aside 2bn/- for 2014/15 for the purchase of 45 motor vehicles which will be sent to various education inspection units countrywide.


PSMG Chairperson, Ms Jenista Mhagama PSMG Chairperson, Ms Jenista Mhagama

This was said in the National Assembly on Tuesday by the Deputy Minister for Education and Vocational Training, Ms Jenista Mhagama, when answering a main question from Danstan Mkapa (CCM-Nanyumbu) who wished to know when the inspection department would be availed with motor vehicles to facilitate smoother operations.
Mhagama said that the government is aware of the importance of the School Inspection Department whose work is critical for education quality. She said that plans are underway to ensure that all district, regional and zonal offices are given motor vehicles.
For a start Nanyumbu has been given a motor vehicle with registration number STK 160, she said. In another development the legislators were told that more than 416bn/- tax exemptions were awarded to various sugar importers between 2010 and 2013 in order to address shortages, the Deputy Minister for Agriculture, Food Security and Cooperatives, Mr Godrey Zambi, told the National Assembly.
He was responding to a question floated in the House by Mr Hamad Rashid Mohamed (CUF-Wawi) who wanted to know the status of local sugar production and tax exemptions granted during the three years period.
Zambi said that sugar production locally does meet the market demand as industries produce only 300,000 tonnes per year while consumption stands at 590,000 tonnes.
He said that when acute shortages strike the government offers tax exemptions to importers in order to seal the gap. However, he conceded that, there are times when sugar is shipped into the country illegally thus making competition in the market especially for the local products unfair.
Moreover, he said, the nation is keen on ensuring that it protects local sugar companies so that they compete with importers respectably.
He said he has instructed the Sugar board to ensure that they meet with all concerned stakeholders so they chart out modalities on import procedures which will be fair to both consumers and producers.
Mr Zambi said that during his recent tour of local sugar manufacturers, he realized that the highest sugar prices should not exceed 1,600/- a kilo.
The sugar board has been tasked to ensure that the market prices remain at 1,600/- a kilo since it is the middlemen who hike the prices to 2,000/-.

Source Tanzania Daily News

Jumatatu, 7 Julai 2014

NAIBU WAZIRI WA ELIMU JENISTA MHAGAMA AFUNGA MAFUNZO YA VIONGOZI WA CCM WILAYA YA LUDEWA JIJINI DAR ES SALAAM



1w 
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akifunga rasmi mafunzo ya kikazi ya utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM ya 2010 na masuala ya Itikadi kwa viongozi wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Ludewa wakiwemo Wenyeviti, Makatibu na Makatibu wenezi wa wilaya  hiyo yaliyokuwa yakifanyika jijini Dar es salaam kwenye hoteli ya JB. Belmont, yakindaliwa na Mbunge Makini na Machachari wa jmbo la Ludewa Mh. Deo Filikunjombe, Viongozi  hao wa CCM wilaya ya Ludewa walianza  na ziara ya kikazi iliyoanzia Bungeni Mjini Dodoma, Chuo Kikuuu cha UDM na Makao makuu ya CCM mjini humo ambapo walikutana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Philip Mangula na kuzungumza naye akiwapa nasaha nyingi kuhusu maadili ya uongozi. (PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM) 2w 
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akimkabidhi cheti cha kuhudhuria semina hiyo Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Ludewa Ndugu Stanley Kolimba. 3w 
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akimkabidhi cheti cha kuhudhuria mafunzo  hayo Eliud Shemauya Katibu wa CCM wilaya ya Ludewa.
 4w 
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akimkabidhi cheti cha kuhudhuria mafunzo  hayoHonolatus Pilimini Mgaya Katibu Mwenezi wa CCM wilaya ya Ludewa. 5w 
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akimkabidhi cheti cha kuhudhuria mafunzo  hayo Rosemary Lwiva Mwenyekiti wa UWT  Mkoa wa Njombe. 6w 
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akikabidhi cheti cha kuhudhuria mafunzo  hayoviongozi mbalimbali wa kata  CCM wilaya ya Ludewa.
 7wNaibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akimkabidhi cheti cha kuhudhuria mafunzo  hayoviongozi mbalimbali wa kata  CCM wilaya ya Ludewa. 8w 
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akimkabidhi cheti Mbunge wa jimbo la Ludewa Mh. Deo Filikunjombe ambaye ndiye aliyeandaa ziara hiyo na semina ya  kimafunzo  kwa viongozi mbalimbali wa kata  CCM wilaya ya Ludewa. 9w 
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akipiga picha na viongozi mbalimbali  wa kata  CCM wilaya ya Ludewa. 10w 
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akipiga picha na viongozi mbalimbali  wa kata  CCM wilaya ya Ludewa mara baada ya kufunga mafunzo hayo 11w 
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akzungumza na Mh. Deo Filikunjombe Mbunge wa jimbo la Ludewa mara baada ya kufunga semina hiyo. 12w 
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akipiga picha na viongozi mbalimbali  wa kata  CCM wilaya ya Ludewa. 13w 
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akipiga picha na kamati ya maandalizi ya semina hiyo  14w 
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akimsikiliza Mh. Deo Filikunjombe wakati alipokuwa akimueleza jambo mara baada ya kupiga picha.
 15w 
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akisalimiana na Rosemary Lwiva Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Njombe mara baada ya zoezi la kupiga picha kukamilika, katikati ni Mbunge wa jimbo la Ludewa Mh. Deo Filikunjombe. 16w 
Viongozi hao washiriki wa semina wakiiimba wimbo maalum wa uhamasishaji. 17w 
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akiwa ameongozana na Mbunge wa jimbo la Ludewa wakiwasili kwenye ukumbi tayari kwa ajili ya kufunga semina hiyo. 18w 
Huyu ni mmoja wa viongozi wa CCM kutoka wilaya ya Ludewa akiwa amembeba mtoto wake mgongoni katika semina hiyo hakika mtoto huyu naye atakuja kukitumikia chama siku moja. 19w 
Mjumbe wa Bunge maalum la Katiba Dr. Susan Kollimba ambaye pia anatokea wilaya ya Ludewa naye alifika katika semina hiyo na kuwatakia mafunzo mema viongozi hao wa wilaya ya Ludewa. 20w 
Mbunge wa jimbo la Ludewa akizungumza na viongozi hao wa Chama cha Mapinduzi kutoka Wilaya ya Ludewa ambao aliwaandalia ziara ya kimafunzo ya kikazi na kiitikadi ndani ya Chama kabla ya kufungwa kwa semina hiyo leo.