Jumatatu, 21 Julai 2014
NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI MH. JENISTA MHAGAMA AKICHEZA NGOMA
RAIS JAKAYA KIKWETE AFUNGUA BARABARA YA PERAMIHO-MBINGA 78KM
Barabara ya Peramiho
-Mbinga yenye urefu wa Kilometa 78 iliyofunguliwa na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya
Mrisho Kikwete
Mamia ya wakazi wa Mbinga wakifurahia wakati Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa anamshukuru Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa Utendaji wake mzuri wa kuwajali wakazi hao kwa kuwajengea miundombinu bora.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na viongozi wengine wa
Serikali wakivuta utepe kuashiria ufunguzi wa barabara ya Peramiho-Mbinga yenye
urefu wa Kilometa 78.
Mheshimiwa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe
kuashiria ufunguzi rasmi wa barabara ya Peramiho-Mbinga 78Km huku akiwa na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli
pamoja na viongozi wengine wa Serikali.
Mamia ya wakazi wa Mbinga wakifurahia wakati Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa anamshukuru Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa Utendaji wake mzuri wa kuwajali wakazi hao kwa kuwajengea miundombinu bora.
Mheshimiwa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wa kwanza kulia
akizungumza na Waziri wa Ujenzi Dkt.John Magufuli kabla ya uzinduzi wa barabara
ya Peramiho-Mbinga 78km .Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit
Mwambungu.
Mheshimiwa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katikati akimshukuru
balozi wa China nchini aliye kushoto kwake kwa kazi nzuri iliyofanywa na
Mkandarasi kutoka China Kampuni ya Synohdro. Kushoto ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John
Pombe Magufuli akishuhudia pamoja na Mawaziri wengine waliohudhuria ufunguzi wa
barabara hiyo.
Mheshimiwa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete katikati akiwa
katika picha ya pamoja na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na
baadhi ya Makatibu Wakuu na Mawaziri waliohudhuria katika ufunguzi wa barabara
ya Perahimo-Mbinga (Km 78)
Jumamosi, 12 Julai 2014
NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI MH. JENISTA MHAGAMA AFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE PERAMIHO
![]() |
| Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akikagua Mradi wa Vijana wa kufyatua Matofali katika Kijiji cha Matimila. |
![]() |
| Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akipokewa na wananchi wakati anawasili kijiji cha Matumila. |
![]() |
| Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akivishwa Taji na Kiongozi wa Vijana katika kijiji cha Matumila. |
![]() |
| Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akivishwa Taji na Kiongozi wa Vijana katika kijiji cha Matumila. |
![]() |
| Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akivishwa Taji na Kiongozi wa Vijana katika kijiji cha Matumila. |
![]() |
| Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akiwajulia hali Wananchi wa kijiji cha Matumila |
![]() |
| Mbunge wa Jimbo la Peramiho na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Jenista Mhagama akimjulia hali Mmoja wa Wazee waishio katika kijiji cha Matumila |
Ijumaa, 11 Julai 2014
Waziri wa Elimu Dk. Kawambwa afafanua kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne 2013
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,
Dk. Shukuru Kawambwa, akifafanua jambo, wakati alipokuwa akizungumza na
waandishi habari, mjini Dodoma leo, kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa
wa kidato cha nne pamoja na kutoa ufafanuzi kuhusu ufauli, alama na
daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013.
Kushoto ni Naibu wake, Jenista Mhagama. (Picha zote na Kassim
Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari, wakati yeye na Waziri wake, Dk. Shukuru Kawambwa (kushoto kwake), walipokuwa wakizungumza na waandishi habari, mjini Dodoma leo, kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne pamoja na kutoa ufafanuzi kuhusu ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama akielezea jambo kwa waandishi wa habari, wakati yeye na Waziri wake, Dk. Shukuru Kawambwa (kulia), walipozungumza na waandishi wa habari, mjini Dodoma leo, kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne pamoja na kutoa ufafanuzi kuhusu ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, akizungumza jambo kwa waandishi wa habari, wakati yeye na Waziri wake, Dk. Shukuru Kawambwa (kulia), wakizungumza, mjini Dodoma leo, kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne pamoja na kutoa ufafanuzi kuhusu ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, akifafanua jambo wakati wa mkutano huo na waandishi wa habari, mjini Dodoma leo. Kulia ni Waziri wake, Dk.Shukuru Kawambwa
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akifafanua jambo, wakati wa mkutano huo na waandishi habari, mjini Dodoma leo, alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne, ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akielezea jambo, wakati alipokuwa akizungumza na waandishi habari, mjini Dodoma leo, kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne kwa mwaka 2013. Kulia kwake ni Naibu wake, Jenista Mhagama.
Waandishi wa habari, wakimsikiliza Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, wakati alipozungumza nao kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne, ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akijibu maswali ya waandishi habari, mjini Dodoma leo, wakati alipozungumza nao kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne pamoja na kutoa ufafanuzi kuhusu ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013. Kushoto ni Naibu wake, Jenista Mhagama.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akizungumza na waandishi habari, mjini Dodoma leo, katika mkutano huo.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akizungumza na waandishi habari, mjini Dodoma leo, katika mkutano huo, kuhusu matokeo ya kidato cha nne ya mtihani wa Taifa kwa mwaka 2013. Kushoto ni Naibu wake, Jenista Mhagama.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (katikati), akizungumza na waandishi habari, mjini Dodoma leo.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (katikati), akizungumza na waandishi habari, mjini Dodoma leo.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akielezea jambo katika mkutano huo, mjini Dodoma leo, alipokuwa akizungumza kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne pamoja na kutoa ufafanuzi kuhusu ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013. Kushoto ni Naibu wake, Jenista Mhagama.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari, wakati yeye na Waziri wake, Dk. Shukuru Kawambwa (kushoto kwake), walipokuwa wakizungumza na waandishi habari, mjini Dodoma leo, kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne pamoja na kutoa ufafanuzi kuhusu ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama akielezea jambo kwa waandishi wa habari, wakati yeye na Waziri wake, Dk. Shukuru Kawambwa (kulia), walipozungumza na waandishi wa habari, mjini Dodoma leo, kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne pamoja na kutoa ufafanuzi kuhusu ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, akizungumza jambo kwa waandishi wa habari, wakati yeye na Waziri wake, Dk. Shukuru Kawambwa (kulia), wakizungumza, mjini Dodoma leo, kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne pamoja na kutoa ufafanuzi kuhusu ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, akifafanua jambo wakati wa mkutano huo na waandishi wa habari, mjini Dodoma leo. Kulia ni Waziri wake, Dk.Shukuru Kawambwa
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akifafanua jambo, wakati wa mkutano huo na waandishi habari, mjini Dodoma leo, alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne, ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akielezea jambo, wakati alipokuwa akizungumza na waandishi habari, mjini Dodoma leo, kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne kwa mwaka 2013. Kulia kwake ni Naibu wake, Jenista Mhagama.
Waandishi wa habari, wakimsikiliza Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, wakati alipozungumza nao kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne, ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akijibu maswali ya waandishi habari, mjini Dodoma leo, wakati alipozungumza nao kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne pamoja na kutoa ufafanuzi kuhusu ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013. Kushoto ni Naibu wake, Jenista Mhagama.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akizungumza na waandishi habari, mjini Dodoma leo, katika mkutano huo.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akizungumza na waandishi habari, mjini Dodoma leo, katika mkutano huo, kuhusu matokeo ya kidato cha nne ya mtihani wa Taifa kwa mwaka 2013. Kushoto ni Naibu wake, Jenista Mhagama.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (katikati), akizungumza na waandishi habari, mjini Dodoma leo.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (katikati), akizungumza na waandishi habari, mjini Dodoma leo.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akielezea jambo katika mkutano huo, mjini Dodoma leo, alipokuwa akizungumza kuhusu matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne pamoja na kutoa ufafanuzi kuhusu ufauli, alama na daraja za ufaulu kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo, kwa mwaka 2013. Kushoto ni Naibu wake, Jenista Mhagama.
Alhamisi, 10 Julai 2014
PICHA ZA NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI MH. JENISTA MHAGAMA AKIWA BUNGENI DODOMA
Wabunge
wa CCM,Kangi Lugola (kulia) wa Jimbo la Mwibara,naMhe. Jenista Joakim MHAGAMA (Mb) Naibu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi (katikati) wa Jimbo la Peramiho,wakifurahia jambo na Mkurugenzi wa
Kampuni ya Msama Promotion, Alex Msama (kushoto) walipokutana kwenye
viwanja vya Bunge mjini Dodoma bunge linaendelea na mkutano wa 13 mjini
humo ambapo hoja mbali mbali zinajadiliwa.
Waziri wa Fedha na uchumi, Saada Mkuya Salum, (kushoto) akijadiliana
jambo na Mhe. Jenista Joakim MHAGAMA (Mb) Naibu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi walipokutana ndani ya ukumbi wa bunge, wakati wa
mjadala wa vipaumbele vya maendeleo ya Taifa, uliowasilishwa bungeni na
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais mahusiano na uratibu Stephen Wasira.
Waziri Chalres Kitwanga, (kushoto)
akijadiliana jambo na Wabunge wa CCM, Mhe. Jenista Joakim MHAGAMA (Mb) Naibu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi (kulia)Jimbo la
Peramiho na William Ngeleja (nyuma kulia) wa Jimbo la Sengerema,
walipokutana ndani ya ukumbi wa bunge mjini Dodoma.
Jumatano, 9 Julai 2014
KUTANA NA NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI MPYA - JENISTA MHAGAMA
Nilimfahamu muda mrefu tangu akiwa kama mwalimu pale Peramiho Girls.
Kukurukakara zake za kupigania haki za walimu kuanzia alipokuwa mwalimu,
kisha UWT hadi kuwa mbunge wa Peramiho, zimeonekana kwa kiasi kikubwa,
hata sasa kuteuliwa kuchukua nafasi ya Phillip Mulugo kama Naibu Waziri
wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Tanzania.
Kuteuliwa kwake katika nafasi hii kumenipa faraja kwa kuwa utekelezwaji
wa mpango wa "Matokeo Makubwa Sasa' katika sekta ya elimu unaweza
ukaangaliwa kwa jicho la uzoefu zaidi katika kuhakikisha kwamba walimu
wanapewa haki zao kama inavyotakiwa kwa kuwa Mheshimiwa Jenista Mhagama
naye amepitia njia hiyo hiyo.
Pia, sote tunafahamu misimamo yake mikali awapo bungeni hasa katika
utekelezaji wa mikakati yenye manufaa kwa wananchi. Nina imani kubwa
kuwa Wizara ya Elimu haitakuwa kama ilivyokuwa kwa miaka yote ya nyuma.
Jambo moja tu ambalo nadhani mheshimiwa Rais JK angeliangalia kwa jicho
la ziada, ni kwamba Wizara nzima ingevunjwa na mfumo wake ujengwe upya,
kuanzia Waziri Dkt shukuru Kawambwa mpaka makatibu wa Wizara na
watendaji wake ambao wamekaa Wizarani kwa muda mrefu bila kuwa na
matunda mazuri.
Nina imani uchapakazi wa mheshimiwa Jenista Mhagama utafunika udhaifu wa
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi mheshimiwa Dkt Shukuru Kawambwa.
Weka maoni yako hapa!
The Ministry of Education and Vocational Training has set aside 2bn/- for 2014/15 for the purchase of 45 motor vehicles which will be sent to various education inspection units countrywide.
Mhagama said that the government is aware of the importance of the School Inspection Department whose work is critical for education quality. She said that plans are underway to ensure that all district, regional and zonal offices are given motor vehicles.
For a start Nanyumbu has been given a motor vehicle with registration number STK 160, she said. In another development the legislators were told that more than 416bn/- tax exemptions were awarded to various sugar importers between 2010 and 2013 in order to address shortages, the Deputy Minister for Agriculture, Food Security and Cooperatives, Mr Godrey Zambi, told the National Assembly.
He was responding to a question floated in the House by Mr Hamad Rashid Mohamed (CUF-Wawi) who wanted to know the status of local sugar production and tax exemptions granted during the three years period.
Zambi said that sugar production locally does meet the market demand as industries produce only 300,000 tonnes per year while consumption stands at 590,000 tonnes.
Moreover, he said, the nation is keen on ensuring that it protects local sugar companies so that they compete with importers respectably.
He said he has instructed the Sugar board to ensure that they meet with all concerned stakeholders so they chart out modalities on import procedures which will be fair to both consumers and producers.
Mr Zambi said that during his recent tour of local sugar manufacturers, he realized that the highest sugar prices should not exceed 1,600/- a kilo.
The sugar board has been tasked to ensure that the market prices remain at 1,600/- a kilo since it is the middlemen who hike the prices to 2,000/-.
Source Tanzania Daily News
Jumatatu, 7 Julai 2014
NAIBU WAZIRI WA ELIMU JENISTA MHAGAMA AFUNGA MAFUNZO YA VIONGOZI WA CCM WILAYA YA LUDEWA JIJINI DAR ES SALAAM
Naibu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh.
Jenista Mhagama akifunga rasmi mafunzo ya kikazi ya utekelezaji wa
Ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM ya 2010 na masuala ya Itikadi kwa
viongozi wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Ludewa wakiwemo Wenyeviti,
Makatibu na Makatibu wenezi wa wilaya hiyo yaliyokuwa yakifanyika
jijini Dar es salaam kwenye hoteli ya JB. Belmont, yakindaliwa na Mbunge
Makini na Machachari wa jmbo la Ludewa Mh. Deo Filikunjombe, Viongozi
hao wa CCM wilaya ya Ludewa walianza na ziara ya kikazi iliyoanzia
Bungeni Mjini Dodoma, Chuo Kikuuu cha UDM na Makao makuu ya CCM mjini
humo ambapo walikutana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Philip
Mangula na kuzungumza naye akiwapa nasaha nyingi kuhusu maadili ya
uongozi. (PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akimkabidhi cheti cha kuhudhuria semina hiyo Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Ludewa Ndugu Stanley Kolimba.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akimkabidhi cheti cha kuhudhuria mafunzo hayo Eliud Shemauya Katibu wa CCM wilaya ya Ludewa.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akimkabidhi cheti cha kuhudhuria mafunzo hayoHonolatus Pilimini Mgaya Katibu Mwenezi wa CCM wilaya ya Ludewa.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akimkabidhi cheti cha kuhudhuria mafunzo hayo Rosemary Lwiva Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Njombe.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akikabidhi cheti cha kuhudhuria mafunzo hayoviongozi mbalimbali wa kata CCM wilaya ya Ludewa.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akimkabidhi cheti cha kuhudhuria mafunzo hayoviongozi mbalimbali wa kata CCM wilaya ya Ludewa.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akimkabidhi
cheti Mbunge wa jimbo la Ludewa Mh. Deo Filikunjombe ambaye ndiye
aliyeandaa ziara hiyo na semina ya kimafunzo kwa viongozi mbalimbali
wa kata CCM wilaya ya Ludewa.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akipiga picha na viongozi mbalimbali wa kata CCM wilaya ya Ludewa.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akipiga picha na viongozi mbalimbali wa kata CCM wilaya ya Ludewa mara baada ya kufunga mafunzo hayo
Naibu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh.
Jenista Mhagama akzungumza na Mh. Deo Filikunjombe Mbunge wa jimbo la
Ludewa mara baada ya kufunga semina hiyo.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akipiga picha na viongozi mbalimbali wa kata CCM wilaya ya Ludewa.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akipiga picha na kamati ya maandalizi ya semina hiyo
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akimsikiliza Mh. Deo Filikunjombe wakati alipokuwa akimueleza jambo mara baada ya kupiga picha.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akisalimiana
na Rosemary Lwiva Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Njombe mara baada ya zoezi
la kupiga picha kukamilika, katikati ni Mbunge wa jimbo la Ludewa Mh.
Deo Filikunjombe.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akiwa ameongozana na Mbunge wa jimbo la Ludewa wakiwasili kwenye ukumbi tayari kwa ajili ya kufunga semina hiyo.
Huyu
ni mmoja wa viongozi wa CCM kutoka wilaya ya Ludewa akiwa amembeba
mtoto wake mgongoni katika semina hiyo hakika mtoto huyu naye atakuja
kukitumikia chama siku moja.
Mjumbe
wa Bunge maalum la Katiba Dr. Susan Kollimba ambaye pia anatokea wilaya
ya Ludewa naye alifika katika semina hiyo na kuwatakia mafunzo mema
viongozi hao wa wilaya ya Ludewa.
Mbunge
wa jimbo la Ludewa akizungumza na viongozi hao wa Chama cha Mapinduzi
kutoka Wilaya ya Ludewa ambao aliwaandalia ziara ya kimafunzo ya kikazi
na kiitikadi ndani ya Chama kabla ya kufungwa kwa semina hiyo leo.
Jisajili kwenye:
Maoni (Atom)















