Jumatatu, 11 Agosti 2014

NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI MH. JENISTA MHAGAMA AZUNGUMZA NA WANAFUNZI WA MAPOSENI SEKONDARI

Wanafunzi wa Maposeni Sekondari wakimsikiza Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama.


Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akizungumza na Wanafunzi wa Maposeni Sekondari.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni