Jumatatu, 11 Agosti 2014

MH. RAIS KIKWETE AFUNGUA SOKO LA KIMATAIFA MPAKANI MKENDA JIMBO LA PERAMIHO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akipokewa tayari kwa uzinduzi wa Soko la Kimataifa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akipokewa tayari kwa uzinduzi wa Soko la Kimataifa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akipokewa tayari kwa uzinduzi wa Soko la Kimataifa.

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akicheza ngom.



Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akizungumza na Madiwani.






Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akicheza ngoma na Waheshimiwa Madiwani.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama wakiwa sikiza wadau waliotoa maoni yao kuhusiana na soko Mpya.

Mama Salma Kikwete akizungumza na wakina Mama.






Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akimpokea Mama Salma Kikwete akizungumza na wakina Mama.







Hakuna maoni:

Chapisha Maoni